newsare.net
Baadhi ya watumiaji wa mitandao hiyo hutumia matukio husika kufanya masihara, na moja ya matukio hayo ni mvua kubwa iliyonyesha Oktoba 14 na 15, 2020 jijini Dar es Salaam na kusababisha madhara katika baadhi ya maeneo huku watu 12 wakiripotiwa kufariki dunia.Mvua iliyotikisa Dar ilivyoacha misemo mitandaoni
Baadhi ya watumiaji wa mitandao hiyo hutumia matukio husika kufanya masihara, na moja ya matukio hayo ni mvua kubwa iliyonyesha Oktoba 14 na 15, 2020 jijini Dar es Salaam na kusababisha madhara katika baadhi ya maeneo huku watu 12 wakiripotiwa kufariki dunia. Read more











