newsare.net
Ajali hiyo ilitokea Jumamosi Oktoba 17, 2020 wakati wakitoka katika Kijiji cha Enkipejus kilichopo kaskazini mwa Narok. Walikuwa wamekwenda kuhudhuria mazishi ya Tompo Ole Sasai, ambaye ni baba wa mkuu wa idara ya fedha wa kaunti hiyo, Julius Sasai.VIDEO: Gavana wa Narok, Kenya anusurika kifo ajali ya helikopta
Ajali hiyo ilitokea Jumamosi Oktoba 17, 2020 wakati wakitoka katika Kijiji cha Enkipejus kilichopo kaskazini mwa Narok. Walikuwa wamekwenda kuhudhuria mazishi ya Tompo Ole Sasai, ambaye ni baba wa mkuu wa idara ya fedha wa kaunti hiyo, Julius Sasai. Read more











