newsare.net
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT- Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad amesema chama hicho kimewasilisha barua kwa kamati ya maadili ya uchaguzi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Zanzibar ( ZEC) kikitaka mgombea wa CCM Dk Hussein Mwinyi achukuliwe hatMaalim Seif ampeleka Dk Mwinyi ZEC
Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya ACT- Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad amesema chama hicho kimewasilisha barua kwa kamati ya maadili ya uchaguzi ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Zanzibar ( ZEC) kikitaka mgombea wa CCM Dk Hussein Mwinyi achukuliwe hatua kwa kiuka maadili ya uchaguzi. Read more











