newsare.net
Vilevile katika jimbo jingine la Kyela mkoani Mbeya, chama tawala pia kimeibuka kidedea kwa nafasi ya udiwani baada ya kushinda kata 32 kati ya 33 jmboni humo, wakati Chadema imeshinda kata moja, amethibitisha haya Msimamizi Mkuu wa Uchunguzi Jimbo la Kyela ECCM yashinda udiwani kata zote 36 Mbeya Mjini, Kyela kata 32
Vilevile katika jimbo jingine la Kyela mkoani Mbeya, chama tawala pia kimeibuka kidedea kwa nafasi ya udiwani baada ya kushinda kata 32 kati ya 33 jmboni humo, wakati Chadema imeshinda kata moja, amethibitisha haya Msimamizi Mkuu wa Uchunguzi Jimbo la Kyela Ezekiel Magehema alipozungumza na Mwananchi. Read more











