newsare.net
Wakati wasimamizi wa uchaguzi wakiendelea kutangaza matokeo ya ubunge katika majimbo mbalimbali nchini Tanzania, hadi leo Ijumaa Oktoba 30, 2020 saa 7:10 mchana wapinzani walikuwa wameshinda majimbo mawili kati ya 220.Wapinzani washinda majimbo mawili kati ya 220, matokeo yaendelea kutangazwa
Wakati wasimamizi wa uchaguzi wakiendelea kutangaza matokeo ya ubunge katika majimbo mbalimbali nchini Tanzania, hadi leo Ijumaa Oktoba 30, 2020 saa 7:10 mchana wapinzani walikuwa wameshinda majimbo mawili kati ya 220. Read more











