newsare.net
Dk Tulia Ackson amejitosa tena kuwania unaibu spika baada ya kuchukua fomu leo mjini Dodoma na kueleza sababu za kutaka kuwania tena nafasi hiyo na si ile na spika wa chombo hicho cha Dola.Dk Tulia aeleza sababu kutaka tena unaibu spika
Dk Tulia Ackson amejitosa tena kuwania unaibu spika baada ya kuchukua fomu leo mjini Dodoma na kueleza sababu za kutaka kuwania tena nafasi hiyo na si ile na spika wa chombo hicho cha Dola. Read more











