newsare.net
Ni Kassim Majaliwa tena. Imempendeza Rais John Magufuli kumteua Majaliwa kuwa Waziri Mkuu katika muhula wake mpya wa uongozi. Wabunge 350, sawa na asilimia 100 ya wabunge wote waliohudhuria shughuli ya uteuzi na uthibitishaji wa jina la Waziri Mkuu, wemempigiHuyu ndiye Kassim Majaliwa
Ni Kassim Majaliwa tena. Imempendeza Rais John Magufuli kumteua Majaliwa kuwa Waziri Mkuu katika muhula wake mpya wa uongozi. Wabunge 350, sawa na asilimia 100 ya wabunge wote waliohudhuria shughuli ya uteuzi na uthibitishaji wa jina la Waziri Mkuu, wemempigia kura za ndio. Read more