newsare.net
Meneja Ujenzi wa mradi wa kufua umeme wa maji wa Julius Nyerere kutoka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco). Said Kimbanga amesema baada ya kukamilika kwa ujenzi wa handaki la kuchepusha maji katika mradi huo, kazi inayofuatia ni kuanza ujenzi wa tuta kuu.Meneja aeleza maendeleo ujenzi mradi wa kufua umeme
Meneja Ujenzi wa mradi wa kufua umeme wa maji wa Julius Nyerere kutoka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco). Said Kimbanga amesema baada ya kukamilika kwa ujenzi wa handaki la kuchepusha maji katika mradi huo, kazi inayofuatia ni kuanza ujenzi wa tuta kuu. Read more