newsare.net
Wakati dakika 36 za raundi 12 zikisubiriwa kuamua bingwa wa mabara wa WBF kati ya Hassan Mwakinyo na Jose Carlos Paz wa Argentina, uzoefu na rekodi ndivyo vitu ambavyo vinawatofautisha mabondia hao wenye nyota sawa kwenye renki ya dunia.Rekodi kumbeba Mwakinyo leo
Wakati dakika 36 za raundi 12 zikisubiriwa kuamua bingwa wa mabara wa WBF kati ya Hassan Mwakinyo na Jose Carlos Paz wa Argentina, uzoefu na rekodi ndivyo vitu ambavyo vinawatofautisha mabondia hao wenye nyota sawa kwenye renki ya dunia. Read more