newsare.net
“Tutaendelea kuboresha mazingira ya kazi pamoja na maslahi ya watumishi wetu wote ili yaendane na hali halisi ya maisha ya Watanzania, tutaangalia maslahi yao kwa hiyo watumishi wasiwe na wasiwasi wachape kazi,” amesema Rais John Magufuli leo Ijumaa NovVIDEO: Ahadi ya Magufuli kwa watumishi
“Tutaendelea kuboresha mazingira ya kazi pamoja na maslahi ya watumishi wetu wote ili yaendane na hali halisi ya maisha ya Watanzania, tutaangalia maslahi yao kwa hiyo watumishi wasiwe na wasiwasi wachape kazi,” amesema Rais John Magufuli leo Ijumaa Novemba 13, 2020 katika hotuba yake ya uzinduzi wa Bunge la 12 jijini Dodoma. Read more