newsare.net
Matamshi ya Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta wiki jana kwamba chaguo lake la mwanasiasa atakayemchagua kumrithi baada ya kustaafu 2022 litawashangaza wengi, yametetemesha kambi ya Makamu wa Rais William Ruto.Rais Uhuru aitikisa kambi ya makamu wake Ruto
Matamshi ya Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta wiki jana kwamba chaguo lake la mwanasiasa atakayemchagua kumrithi baada ya kustaafu 2022 litawashangaza wengi, yametetemesha kambi ya Makamu wa Rais William Ruto. Read more