newsare.net
Wabunge watatu wa Chadema, Halima Mdee, Ester Bulaya na Jesca Kishoa pamoja na Meya wa Ubungo, Boniface Jacob wamefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu leo Jumatatu Machi 23, 2020 na kusomewa mashtaka saba.VIDEO: Wabunge Chadema wasomewa mashtaka saba
Wabunge watatu wa Chadema, Halima Mdee, Ester Bulaya na Jesca Kishoa pamoja na Meya wa Ubungo, Boniface Jacob wamefikishwa katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu leo Jumatatu Machi 23, 2020 na kusomewa mashtaka saba. Read more











