newsare.net
Usiku wa Oktoba 24, 1975, siku mbili kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 26, Rais wa Tanu, Mwalimu Julius Nyerere alilihutubia Taifa kwa njia ya redio na kuahidi kuwa ataendelea kuitumikia Tanzania na watu wake kwa kipindi kingine cha miaka mitanoJinsi Nyerere alivyoomba kura 1975, Aboud Jumbe atetea urais Zanzibar
Usiku wa Oktoba 24, 1975, siku mbili kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 26, Rais wa Tanu, Mwalimu Julius Nyerere alilihutubia Taifa kwa njia ya redio na kuahidi kuwa ataendelea kuitumikia Tanzania na watu wake kwa kipindi kingine cha miaka mitano kama wananchi wengi wangempigia kura. Read more