newsare.net
Mchezaji wa Real Madrid, Karim Benzema amemkejeli mshambuliaji wa kimataifa wa Ufaransa, Olivier Giroud kwa kujifananisha na dereva wa magari ya mwendokasi ya langalanga (Formula One), huku akimfananisha mshambuliaji huyo wa Chelsea na go-kart, magari madogoBenzema amfananisha Giroud na 'kigari kidogo'
Mchezaji wa Real Madrid, Karim Benzema amemkejeli mshambuliaji wa kimataifa wa Ufaransa, Olivier Giroud kwa kujifananisha na dereva wa magari ya mwendokasi ya langalanga (Formula One), huku akimfananisha mshambuliaji huyo wa Chelsea na go-kart, magari madogo zaidi ya mashindano. Read more











