newsare.net
Mwili wa mkurugenzi mtendaji wa zamani wa kampuni ya Katani Limited, Salum Shamte aliyefariki Dunia leo alfajiri utazikwa kesho Jumanne Machi 31, 2020 katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam.Mwili mkurugenzi wa zamani wa Katani Limited kuzikwa kesho Dar
Mwili wa mkurugenzi mtendaji wa zamani wa kampuni ya Katani Limited, Salum Shamte aliyefariki Dunia leo alfajiri utazikwa kesho Jumanne Machi 31, 2020 katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam. Read more