newsare.net
Walimu nchini Ufaransa hawawezi kuwasiliana na maelfu ya wanafunzi kuhakikisha kwamba bado wanaendelea kusoma licha ya kushindwa kuhudhuria darasani kutokana na amri ya kuzuia watu kutoka nyumbani kudhibiti kuenea kwa maambukizi ya virusi vya corona, Waziri wWalimu wasaka wanafunzi Ufaransa
Walimu nchini Ufaransa hawawezi kuwasiliana na maelfu ya wanafunzi kuhakikisha kwamba bado wanaendelea kusoma licha ya kushindwa kuhudhuria darasani kutokana na amri ya kuzuia watu kutoka nyumbani kudhibiti kuenea kwa maambukizi ya virusi vya corona, Waziri wa Elimu Jean-Michel Blanquer amesema leo Jumanne. Read more